Posts

Showing posts from April, 2026

Usijiulize ulize

 hint: MUNGU alimwambia Musa awahesabu Wana wa Israel hesabu 1:2.lakini si kwamba MUNGU alikuwa hajui idadi.wala sio kwamba Musa alikuwa hajui kwamba MUNGU anajua idadi ya Wana wa Israel. MUNGU anajua hata idadi ya nywele, kwenye kichwa Cha Kila mtu hapa duniani mathayo 10:30. Kwa Nini alimwambia Musa ahesabu wale watu.ni kwa Sababu ni MUNGU.anataka kupima utii na uwezo wetu wakulitendea kazi neno lake.ndo maana hata kwenye masomo yaliyopita kumhusu Adam na Hawa jinsi walivyowekewa ule wa ujuzi wa mema na mabaya.ulikuwa ni Sheria inayopima uwezo wa mwanadamu kulitii na kulisikiliza neno la MUNGU.        ili kwamba endapo wakiitii Sheria(wangesikiliza neno la MUNGU) basi wangekuwa na Uhuru na ukamilifu siku zote lakini pale tu walipokula ilimaanisha Sheria Ile ikawapinga ikawazuia.          Tukisoma vizuri tunakuja kugundua kuwa adamu na Hawa Wala hawakujua kwa Nini MUNGU aliwaambia wasile Lile tunda.lakini kwa kuwa ilikuwa ni neno la MUN...