Posts

Neno kwa wasomaji

 Ndugu msomaji, Kabla hujaendelea na masomo haya, ningependa kusema jambo moja kutoka moyoni. Kama kuna sehemu yoyote katika maandishi yangu imeonekana kuwa kali kupita kiasi, ya kuhukumu, au isiyotoa nafasi ya kuelewana vizuri — naomba unisamehe. Kusudi langu halijawahi kuwa kuumiza, kushusha, au kujiona bora kuliko wengine. Ninachoandika kinatokana na kiu ya kumtafuta MUNGU kwa undani na kushirikisha wengine yale ninayojifunza katika safari hiyo. Hata hivyo, bado niko safarini kama wewe — najifunza, nakua, na kurekebishwa kila siku. Naomba usichukue maneno yangu kama hukumu juu yako, bali uyapokee kama mwaliko wa kutafakari, kuchunguza, na kumtafuta MUNGU kwa kina zaidi. Kilicho muhimu zaidi si mimi, bali ni ukweli wa MUNGU unaotufikisha kwenye uzima. Karibu tuendelee kujifunza pamoja, kwa unyenyekevu na upendo. — Amani Ernest Kyamba SOGH TEAM

Part 02:kugeuza nia

 Ndugu msomaji, Kabla hujaendelea na masomo haya, ningependa kusema jambo moja kutoka moyoni. Kama kuna sehemu yoyote katika maandishi yangu imeonekana kuwa kali kupita kiasi, ya kuhukumu, au isiyotoa nafasi ya kuelewana vizuri — naomba unisamehe. Kusudi langu halijawahi kuwa kuumiza, kushusha, au kujiona bora kuliko wengine. Ninachoandika kinatokana na kiu ya kumtafuta MUNGU kwa undani na kushirikisha wengine yale ninayojifunza katika safari hiyo. Hata hivyo, bado niko safarini kama wewe — najifunza, nakua, na kurekebishwa kila siku. Naomba usichukue maneno yangu kama hukumu juu yako, bali uyapokee kama mwaliko wa kutafakari, kuchunguza, na kumtafuta MUNGU kwa kina zaidi. Kilicho muhimu zaidi si mimi, bali ni ukweli wa MUNGU unaotufikisha kwenye uzima. Karibu tuendelee kujifunza pamoja, kwa unyenyekevu na upendo. — Amani Ernest Kyamba SOGH TEAM Hosea 4:6               Wana wa Israel walikuwa na sheria ya MUNGU,na walikuwa na ujuzi nayo.la...

Part 01:Kugeuza nia

 Luka 9:62 Mwanzo 19:22 Mtu anayetaka kuenda mbinguni ila anaangalia nyuma anafananishwa na mtu anayetembea kwenda mbele ila macho yake yanaangalia nyuma(yaani anatembea kinyumenyume)       sasa njia Ile ni nyembamba nayo imesonga kuelekea uzimani je mtu akiwa haoni jinsi ilivyosonga atafanikiwa? mathayo 7:14        maana kusonga Ina maana Ile njia Ina mabonde,mashimo,milima,miiba na adha mbalimbali Bila  kugeuza Nia(macho kugeuka uelekeo wa wokovu) tunakuwa ni vipofu ko miiba itatuchoma mashimoni tutatumbukia na mabonde yatakuwa ni kizuizi kwetu mno kwa kuwa Bado Nia hazijageuka(hatujazaliwa mara ya pili).        Wakati tukigeuza nia(kuzaliwa mara ya pili) tutaona tunapopaendea kwa kuwa Nia inaunda imani na imani inaunda tumaini na katika haya lililo kuu ni upendo 1 korinto 3:13. upendo ndiyo kugeuza Nia ninakozungumzia. ukigeuza Nia(ukizaliwa mara ya pili) palipo na bonde patajazwa, palipo kilima patashushwa,palipo kwaru...

Kwa nini unasita kuisikia sauti ya MUNGU?

 hint: MUNGU alimwambia Musa awahesabu Wana wa Israel hesabu 1:2.lakini si kwamba MUNGU alikuwa hajui idadi.wala sio kwamba Musa alikuwa hajui kwamba MUNGU anajua idadi ya Wana wa Israel. MUNGU anajua hata idadi ya nywele, kwenye kichwa Cha Kila mtu hapa duniani mathayo 10:30. Kwa Nini alimwambia Musa ahesabu wale watu.ni kwa Sababu ni MUNGU.anataka kupima utii na uwezo wetu wakulitendea kazi neno lake.ndo maana hata kwenye masomo yaliyopita kumhusu Adam na Hawa jinsi walivyowekewa ule wa ujuzi wa mema na mabaya.ulikuwa ni Sheria inayopima uwezo wa mwanadamu kulitii na kulisikiliza neno la MUNGU.        ili kwamba endapo wakiitii Sheria(wangesikiliza neno la MUNGU) basi wangekuwa na Uhuru na ukamilifu siku zote lakini pale tu walipokula ilimaanisha Sheria Ile ikawapinga ikawazuia.          Tukisoma vizuri tunakuja kugundua kuwa adamu na Hawa Wala hawakujua kwa Nini MUNGU aliwaambia wasile Lile tunda.lakini kwa kuwa ilikuwa ni neno la MUN...

PART 01:HATUA ZA UKUAJI

 Mwandishi:Amani Ernest kyamba. SOGH Team.          MUNGU wa mbinguni alipoanza kuumba mbingu na nchi,dunia ilikuwa ukiwa,tena utupu tena giza lilitanda juu ya vilindi vya maji.MUNGU akaanza somo la uumbaji kwamba yeye awezaye yote angeweza kuijaza Dunia yote kwa siku moja au wakati mmoja tu.angeweza kuumba vyote kwani yeye anaweza vyote.akatoa somo kwetu kwamba katika kujenga,Mda ni kipengele cha muhimu zaidi.          Pia katika technology ya ufundi wa ujenzi wa nyumba.mtu anaweza kuwa na gharama nzima na maandalizi mazuri ya ujenzi,lakini akiwapelekesha mafundi wake wamalize ujenzi mzima wa nyumba kwa wiki moja.inawezekana.lakino asilimia za uimara wa nyumba hiyo unakuwa mdogo sana .na labda yajapotokea mafuriko,pepo,na mabadiliko ya Hali ya hewa,hiyo nyumba itaanguka,au yaweza kuanguka hata kabla haijamaliziwa kujengwa. Yote hiyo inasababishwa na ujenzi kutokuwa na hatua.         MUNGU angeweza kuumba wanadam...

B: kuweza kulitendea kazi neno la MUNGU

 Mwalimu:Amani Ernest kyamba  Mathayo 13:1 Njia na Mwamba.. Roho mtakatifu ni jumla ya mazingira yote ya kuifanya mbegu ikue.  Neno likikaa kwa mtu ambaye Hana  wokovu wa YESU Kristo ni kama upuuzi.ndo maana ataonekana kuwa haelewi kwa kuwa Mwamba hauna msingi wa kujenga nyumba...ko atalipokea kwa furaha kama Wana wa Israel walivyofanya( au kama mfano wa mbegu katika udongo) lakini yalipokuja majaribu kulipima neno yakawashinda kwa kuwa walikuwa hawana msingi unaojenga thamani ya NENO LA MUNGU.ko wakawa hawaoni thamani ndiyo maana maneno ya MUNGU wenyewe waliyachukulia kama ya MSA ko hawakuweza kubadilika.ko waliyashika lakini hayakuwa msaada kwao wakati wa shida ..ko Wana wa Israel walipandwa neno juu ya miamba .. ko kumbe udongo ni msingi// ko Mwamba ni sehemu haina udongo mwingi ko Ina maana hakuna msingi imara na ndio maana pepo na mafuriko yalipokuja kuleta majaribu mtu alidondoka kwa kuwa matunda ya neno yalikuwa mateta...na hayakuwi Tena .. Mzizi ni roho wa MU...

Unalinda?, Unajenga?.

 This is a SOGH:Amani Ernest Kyamba    Maana ukisipofanya na MUNGU inakuwa Bure kabisa zaburi 127:1-2. (Jambo la kwanza kabisa katika kuunda chemichemi ya uzima ndani ya mioyo yetu ni kugeuza Nia zetu ovu na kuhamisha kuwa na Nia safi kabisa..       ili kuujenga wokovu imara kama ilivyoandikwa kwenye mathayo 7:24-26 nafasi kuu ambayo mwanadamu inampasa aifanye ni kujenga na kulinda.                 kwanza kabisa tujifunze kutoka kwa Nehemia aliyekuwa anajenga mji wa yerusalemu jambo ambalo lilikuwa ni mapenzi ya MUNGU kwamba ule mji wa yerusalemu ujengwe upya kama jinsi wokovu wetu ilivyo kwamba tukiokoka ya kale yote yapite na hatimaye yawe mapya.  nehemia alikuwa ana lengo Moja tu la kujenga Kuta za yerusalemu akawa ameomba na ruhusa Toka kwa mfalme artashasta ili akaujenge mji wa baba zake. ni jambo kuu ambalo MUNGU alikuwa analihitaji kutimia kutoka kwa watumishi wake Nehemia na wale hamsini elfu. basi wale w...